Mtafiti wa machozi Bergman anasema, "Kuzuia machozi huongeza viwango vya shida, na huchangia magonjwa yaliyotokana na matatizo, kama shinikizo la damu, matatizo ya moyo, na vidonda vya peptic.

 

MACHOZI ni njia ya asili ya kuongea hisia za moja kwa moja kutoka moyoni lakini pia

machozi ni njia ya kuongea vitu vingi kwa wakati mmoja.

TAFITI tofauti tofauti zilizofanyika zinaonyesha wanawake kati ya asilimia 85 wanakiri kwamba baada ya kutoa machozi au kulia wanajisikia ahueni, raha na wanakuwa 'relaxed'.

Kuna aina tatu za machozi ya binadamu

1. Emotional Tears: Haya ni machozi  ambayo hutoka kutokana na kuguswa hisia, au kuumizwa moyoni.

2. Basal Tears: Haya ni machozi ambayo hufanya macho yetu kuwa na majimaji kila wakati ( lubiricating tears) na kufanya macho yaone vizuri.

3. Reflex Tears: Ni machozi ambayo huweza kutoka pale kitu kinachowasha macho kuingia machoni kama vile kitunguu, mabomu ya machozi nk.

Faida za kutoa machozi

Machozi hutoa sumu: Hii ni kwa mujibu wa Biochemist William Frey, ambaye ni mtafiti wa machozi anasema machozi huondoa sumu kutoka  mwilini.


Machozi huonesha uwazi na hutoa hisia za moyoni.

Kuondoa Stress; Wataalamu wanasema machozi yana kiwango kikubwa cha madini ya Manganese na homoni za prolactin ambazo husaidia mliaji kujisikia ahueni baada ya kumaliza kulia.

Kutoa machozi husaidia mwili  kuondoa  kemikali, Unapotoa machozi ukiwa na hisia mwili huweza kutoa homoni za protein kama vile 'Leucine Enkephalin', hupunguza stress zaidi na kukufanya ujisikie raha na haueni.

Njia nzuri ya kulia au kutoa machozi,

Wataalamu wanashauri ukiona una stress, umekarisika ,umeumizwa ,una mawazo au unajisikia kulia au kutoa machozi , tafuta sehemu ambayo ni tulivu na ya siri (inaweza kuwa chumbani ukajifungia) peke yako, kisha ruhusu kilio ambacho machozi yanayotiririka yenyewe hadi chini kwenye mashavu, pia  hakikisha unaruhusu hisia zako za ndani zihusike na kulia kwako itakuwa ni tiba bora zaidi na utajisikia vizuri zaidi baada ya kulia.

Angalizo

Usimzuie mtu kulia kama analia au anatoa machozi muache alie hadi atosheke mwenyewe hiyo ndio dawa muhimu kwake ya kumfanya atoe kilicho moyoni.

Muhimu

Inashauriwa mara baada ya kutoa machozi hakikisha unakuwa na mood nzuri, mchangamfu kwani machozi pia husaidia 'ku-clear mind' (kusafisha akili).

Related Posts:

  • The Death of John the Baptist  MARK 6:14-29  And king Herod heard of him ; (for his name was spread abroad ;) and he said, That John the Baptist was risen from the dead, and therefore mighty works do show forth themselves in him. Others said… Read More
  • Joseph Interprets the Prisoners’ Dreams GENESIS 40:1-23 And it came to pass after these things, that the butler of the king of Egypt and his baker had offended their lord the king of Egypt. And Pharaoh was wroth against two of his officers, against the chief of… Read More
  • Joseph Interprets Pharaoh’s Dream GENESIS 41:1-36 And it came to pass at the end of two full years, that Pharaoh dreamed : and, behold, he stood by the river. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); And, behold, there came up out of the ri… Read More
  • Jesus Walks on the Sea (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});  And straightway he constrained his disciples to get into the ship, and to go to the other side before unto Bethsaida, while he sent away the people. And when h… Read More
  • Joseph and Potiphar’s Wife  GENESIS 39:1-23 And Joseph was brought down to Egypt ; and Potiphar, an officer of Pharaoh, captain of the guard, an Egyptian, bought him of the hands of the Ishmaelites, which had brought him down thither. And the L… Read More

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Popular Posts