UBATIZO NI NI?
Ubatizo ni neno la Kigiriki ‘Baptizo’ lenye kumanisha :-
Kuchovya ( to dip)
Kuzamisha ( to submerge)
Kugharikisha( to overwhelm)
Kufunika kabisa kwa kimiminika
Kuchovya kitu katika kimiminika na kukitoa tena nje
HATUA ZA MKRISTO ILI KUBATIZWA UBATIZO WA MAJI MENGI
Toba : Matendo ya Mitume 2: 37 -38
Ni lazima toba ifanyike kabla ya kubatizwa ubatizo wa maji
mengi. Maana ubatizo ni ishara ya nje inayodhihirisha badiliko la ndani
lililofanyika katika moyo kupitia toba. Ubatizo pasipo badiliko la ndani na
mahusiano mapya na Mungu hauna tija.
Ni lazima kuamini : Mark
16: 15- 16 , Matendo 8: 36- 39
Ni pale tu tunapomwamini
Yesu Kristo mwana wa Mungu ndipo tubatizwe ubatizo wa maji mengi
.Tunaona Philipo na Towashi , ni pale tu Towashi alipomwamini Yesu ndipo
waliposhuka majini na kubatizwa , tazama Biblia inasema tena wakapanda kutoka
majini.
Ni lazima kuwa na ufahamu au nia njema ndani yako. 1Petro
3:21
Ni lazima kukubali kuwa mwanafunzi wa Yesu .Mathayo 28 : 19-
20 “Basi enendeni mkawafanye mataifa
yote kuwa wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba la Mwana na Roho
Mtakatifu, na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi, na tazama mimi
nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari.”
FAIDA ZA KIROHO ZA UBATIZO WA MAJI MENGI
Kuelewa umuhimu wa kiroho
kubatizwa ubatizo wa maji
mengi soma Warumi 6: 3-7, Wakolosai 2: 12
Related Posts:
Praise for the Lord’s Mighty Deliverance
ISAIAH 42:10-17
Sing unto the Lord a new song, and his praise from the end of the earth, ye that go down to the sea, and all that is therein ; the isles, and the inhabitants thereof. Let the wilderness and the cities… Read More
Israel’s Failure to Profit from Discipline
ISAIAH 42:18-2
Hear, ye deaf ; and look, ye blind, that ye may see. Who is blind, but my servant ? or deaf, as my messenger that I sent ? who is blind as he that is perfect, and blind as the Lord’s servant ? Seeing m… Read More
The Lord the Only God
ISAIAH 44:1-8
Yet now hear, O Jacob my servant ; and Israel, whom I have chosen : thus saith the Lord that made thee, and formed thee from the womb, which will help thee ; Fear not, O Jacob, my servant ; and thou, Jeshurun… Read More
Why Should I Confess My Sins?
After you have become a Christian, do you confess your sins in order
to remain saved? No; the Bible tells us that once you are saved, you
remain sealed: Ephesians 1:13 says “When
you heard the word of truth, the gospel o… Read More
To Me to Live Is Christ
Philippians 1:12-26
But I would ye should understand, brethren, that the things which happened unto me have fallen out rather unto the furtherance of the gospel ; so that my bonds in Christ are manifest in all the palace, … Read More
0 comments:
Post a Comment