• Mungu ametuamuru sisi tuwe na imani kwake, Marko  11: 22 "Yesu akajibu akamwambia mwamini Mungu"

  • Imani ni ya lazima tunapomwendea Mungu na ili kumpendeza Mungu. Waebrania 11 : 6 "lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu , maana amwendeaye Mungu ni lazima kuamini kwamba yupo , na kwamba yeye huwapa thawabu wale wamfuatao
  • Kila tendo lisilo la IMANI ni DHAMBI , Warumi  14 : 23 "Lakini aliye na shaka kama akila amehukumiwa kuwa ana hatia , kwa maana hakula kwa imani . Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi .”
  • Imani hutusaidia kufikia NEEMA ya Mungu , Warumi 5: 2 “ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake , na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.”
  • Kwa imani tunashinda ulimwengu, 1Yohana  5: 4 “ Kwa maana kila lkilichozaliwa na MUNGU huushinda ulimwengu na huku ndiko kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.”
  • Ndiyo ngao ya Mkristo (Waefeso 6: 16) shika ngao ya imani
  • Mwenye haki wangu ataishi kwa imani ( 2 Wakoritho 5: 7) na Habakuki 2: 4.

TUNAIPATAJE IMANI ?
Ni kwa neon la Mungu tu Warumi  10: 17 “ Basi imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa neon la Kristo”

  •  Hili ni andiko la msingi kwa kila aina ya imani

  •     Imani ipo mlangoni itasubiri iingie unaposikia nene la Mungu na kuliamini.

  •     Imani huja kwa njia mbalimbali ,imani huja kwa njia mbalimbali mojawapo ni :-

             i.    Kusoma Biblia
           ii.     Kwa kusikiliza mahubiri na shuhuda
           iii.    Kusoma vitabu vizuri vya Kikristo
           iv.    Kutazama filamu za Kikristo
           v.       Kusikiliza na kutazama video za Kikristo
  Pia imani huja kwa kusikia neon la Mungu , neno  la Mungu linaweza kuwa Logos- neno          lililoandikwa  toka kitabu cha mwanzo hadi ufunuo, Rhema – neon lililosemwa.
      i.       Linaweza kuwa ni neon lililosemwa kwa sauti ndogo ya Roho mtakatif

       ii.       Linaweza kuwa Neno lililotoka kinywani toka madhabahuni

      iii.      Linaweza kuwa ni ushauri toka kwa wazazi, wazee au mtu yeyote anayekuzidi umri 

     iv.     Tusijifunge kusikia neon na kuliamini hadi tusikie ‘Asema Bwana’ 

      v.      Ni lazima kuwa makini ili kumsikia Roho Mtakatifu anaponena ndani yako au

           kupitia   mtu mwingine.



Related Posts:

  • What is Worship? God defines worship as "love": "Love the Lord your God." Love is a verb, an action word. It requires doing, not just attending church, listening to a sermon, singing hymns, or giving money. You've only worshipped when y… Read More
  • The Cost of Discipleship And there went great multitudes with him : and he turned, and said unto them,If any man come to me, and hate not his father, and mother, and wife, and children, and brethren, and sisters, yea, and his own life also, he cann… Read More
  • The Lord the Only God ISAIAH 44:1-8 Yet now hear, O Jacob my servant ; and Israel, whom I have chosen : thus saith the Lord that made thee, and formed thee from the womb, which will help thee ; Fear not, O Jacob, my servant ; and thou, Jeshurun… Read More
  • Praise for the Lord’s Mighty Deliverance ISAIAH  42:10-17 Sing unto the Lord a new song, and his praise from the end of the earth, ye that go down to the sea, and all that is therein ; the isles, and the inhabitants thereof. Let the wilderness and the cities… Read More
  • Israel’s Failure to Profit from Discipline ISAIAH 42:18-2   Hear, ye deaf ; and look, ye blind, that ye may see. Who is blind, but my servant ? or deaf, as my messenger that I sent ? who is blind as he that is perfect, and blind as the Lord’s servant ? Seeing m… Read More

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Popular Posts