• Mungu ametuamuru sisi tuwe na imani kwake, Marko  11: 22 "Yesu akajibu akamwambia mwamini Mungu"

  • Imani ni ya lazima tunapomwendea Mungu na ili kumpendeza Mungu. Waebrania 11 : 6 "lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu , maana amwendeaye Mungu ni lazima kuamini kwamba yupo , na kwamba yeye huwapa thawabu wale wamfuatao
  • Kila tendo lisilo la IMANI ni DHAMBI , Warumi  14 : 23 "Lakini aliye na shaka kama akila amehukumiwa kuwa ana hatia , kwa maana hakula kwa imani . Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi .”
  • Imani hutusaidia kufikia NEEMA ya Mungu , Warumi 5: 2 “ambaye kwa yeye tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani yake , na kufurahi katika tumaini la utukufu wa Mungu.”
  • Kwa imani tunashinda ulimwengu, 1Yohana  5: 4 “ Kwa maana kila lkilichozaliwa na MUNGU huushinda ulimwengu na huku ndiko kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.”
  • Ndiyo ngao ya Mkristo (Waefeso 6: 16) shika ngao ya imani
  • Mwenye haki wangu ataishi kwa imani ( 2 Wakoritho 5: 7) na Habakuki 2: 4.

TUNAIPATAJE IMANI ?
Ni kwa neon la Mungu tu Warumi  10: 17 “ Basi imani chanzo chake ni kusikia na kusikia huja kwa neon la Kristo”

  •  Hili ni andiko la msingi kwa kila aina ya imani

  •     Imani ipo mlangoni itasubiri iingie unaposikia nene la Mungu na kuliamini.

  •     Imani huja kwa njia mbalimbali ,imani huja kwa njia mbalimbali mojawapo ni :-

             i.    Kusoma Biblia
           ii.     Kwa kusikiliza mahubiri na shuhuda
           iii.    Kusoma vitabu vizuri vya Kikristo
           iv.    Kutazama filamu za Kikristo
           v.       Kusikiliza na kutazama video za Kikristo
  Pia imani huja kwa kusikia neon la Mungu , neno  la Mungu linaweza kuwa Logos- neno          lililoandikwa  toka kitabu cha mwanzo hadi ufunuo, Rhema – neon lililosemwa.
      i.       Linaweza kuwa ni neon lililosemwa kwa sauti ndogo ya Roho mtakatif

       ii.       Linaweza kuwa Neno lililotoka kinywani toka madhabahuni

      iii.      Linaweza kuwa ni ushauri toka kwa wazazi, wazee au mtu yeyote anayekuzidi umri 

     iv.     Tusijifunge kusikia neon na kuliamini hadi tusikie ‘Asema Bwana’ 

      v.      Ni lazima kuwa makini ili kumsikia Roho Mtakatifu anaponena ndani yako au

           kupitia   mtu mwingine.



Related Posts:

  • The Death of John the Baptist  MARK 6:14-29  And king Herod heard of him ; (for his name was spread abroad ;) and he said, That John the Baptist was risen from the dead, and therefore mighty works do show forth themselves in him. Others said… Read More
  • Joseph Interprets Pharaoh’s Dream GENESIS 41:1-36 And it came to pass at the end of two full years, that Pharaoh dreamed : and, behold, he stood by the river. (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); And, behold, there came up out of the ri… Read More
  • Joseph Interprets the Prisoners’ Dreams GENESIS 40:1-23 And it came to pass after these things, that the butler of the king of Egypt and his baker had offended their lord the king of Egypt. And Pharaoh was wroth against two of his officers, against the chief of… Read More
  • Jesus Walks on the Sea (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});  And straightway he constrained his disciples to get into the ship, and to go to the other side before unto Bethsaida, while he sent away the people. And when h… Read More
  • The Birth of John the Baptist Foretold LUKE 1:1-25  There was in the days of Herod, the king of Judea, a certain priest named Zechariah, of the course of Abijah and his wife was of the daughters of Aaron, and her name was Elisabeth. And they were both righ… Read More

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Popular Posts