Je unajenga msingi wako juu ya kanisa au dhehebu lako?
Je unajenga kwa mtu? Mtume fulani au mhubiri fulani katika television au mchingaji fulani maarufu?
kwenye sherehe au taratibu fulani katika Kanisa?
1 Wakorintho 3: 11 "maana msingi mwingine hakuna mtu awezaye kuuweka , isipokuwa ni ule ulikwisha kuwekwa yaani Yesu Kristo . Katika kitabu cha Mathayo 16: 16-18 Petro anatambua Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu aliyehai.Yesu akasema Petro juu yangu nitalijenga kanisa,Petro ni msingi wenyewe, jina Petro linatokana na neno la ARAMAIC,KEFAS lenye kumaanisha kipande cha jiwe au mawe madogo madogo(Pebbles). Pamoja na kwamba Petro alikuwa kiongozi wa Kanisa lakini yeye alikuwa si thabiti hata kanisa kujengwa juu yako.
Kuthibitisha haya soma maandiko yafuatayo: Mathay0 16:22;26:69-75: Galatia 2:11-14. Yesu ndiye mwamba hakuna mwamba mwingine, Isaya 28:16: Zaburi 18:2; 62:1-2,6-7; Matendo 4:11-12; Mathayo 7:21-27; Yohana 14:23-24
HITIMISHO.
Hakuna mtu awezaye kuweka msingi mwingine isipokuwa Yesu Kristo.
Msingi hauwezi kuwa Kanisa au dhehebu lako, Mtu au mtumishi fulani
BALI YESU KRISTO PEKE YAKE ALITESWA, KUFA KUZIKWA NA SIKU YA TATU ALIFUFUKA YU HAI HATA SASA.
Related Posts:
Jesus Chooses the Twelve
And it came to pass in those days, that he went out into a mountain to pray, and continued all night in prayer to God. And when it was day, he called unto him his disciples : and of them he chose twelve, whom also he named… Read More
Joseph and Potiphar’s Wife
GENESIS 39:1-23
And Joseph was brought down to Egypt ; and Potiphar, an officer of Pharaoh, captain of the guard, an Egyptian, bought him of the hands of the Ishmaelites, which had brought him down thither. And the L… Read More
Joseph Interprets Pharaoh’s Dream
GENESIS 41:1-36
And it came to pass at the end of two full years, that Pharaoh dreamed : and, behold, he stood by the river.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
And, behold, there came up out of the ri… Read More
A Son Promised to Abram
After these things the word of the Lord came unto Abram in a vision, saying, Fear not, Abram : I am thy shield, and thy exceeding great reward. And Abram said, Lord God, what wilt thou give me, seeing I go childless, and th… Read More
Joseph Interprets the Prisoners’ Dreams
GENESIS 40:1-23
And it came to pass after these things, that the butler of the king of Egypt and his baker had offended their lord the king of Egypt. And Pharaoh was wroth against two of his officers, against the chief of… Read More
0 comments:
Post a Comment