AYUBU 22 :21

Mjue sana Mungu, ili uwe na amani Ndivyo mema yatakavyokujia.

Amani pamoja na mema kudhihilika katika katika maisha yetu vinapatikana katika kumjua Mungu.

Kumjua Mungu kwa kumtafuta kwa bidii, kumpenda, kutii sheria zake ,kuhudhulia kanisani, kuweka katika matendo yale ambayo yanafundishwa na n.k

Wote kwa pamoja inatupasa kumjua Mungu na kumtafuta kwa bidii madamu anapatikana.

 

 

Related Posts:

  • JE UNAJENGA KATIKA MSINGI UPI? Je unajenga msingi wako juu ya kanisa au dhehebu lako? Je unajenga kwa mtu? Mtume fulani au mhubiri fulani katika television au mchingaji fulani maarufu?  kwenye sherehe au taratibu fulani katika Kanisa? 1 Wakor… Read More
  • IMANI NA MATENDO, JE TUKIAMINI KITU GANI? Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
  • Blessings From God"But blessed is the man who trusts in the LORD, whose confidence is in him.  He will be like a tree planted by the water that sends out its roots by the stream.  It does not fear when heat comes; its leaves are a… Read More
  • MATESO KWA MKRISTO NI MEPESI Paulo anawambia Warumi katika (Warumi 8: 18) kuwa "kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu" kwa hiyo mateso ambayo Mkristo unayapitia leo ni mepesi kulinganisha na… Read More
  • Providing For Our NeedsSo do not worry, saying, 'What shall we eat?' or 'What shall we drink?' or 'What shall we wear?'  For the pagans run after all these things, and your heavenly Father knows that you need them.  But seek first His k… Read More

0 comments:

Post a Comment

Blog Archive

Popular Posts