Wamesamehewa na kuokolewa, wakati mtu anapoona ya kwamba amemuasi Mungu mara elfu na ya kwamba dhambi zake zinamwelekeza jehanamu.Anapoona ya kwamba Kristo amempenda na ameichukua adhabu ya dhambi hizo zote na ya kwamba zimesamehewa na kusahaulika, je, hataweza kufurahi? je mwanamaji anapookolewa toka kwa kaburi ya maji hafurahi?
Msomaji- haungalikuwa na furaha kuu zaidi ukijua ya kwamba dhambi zako zimesamehewa? Kwa sasa huthubutu kuwaza juu ya kifo au juu ya hukumu au juu ya jehanamu.Wakati Roho wa Mungu anapoyaleta mambo haya katika mawazo yako, unajaribu kuyafutia mbali.Biblia inasema "Heri mtu yule ambaye dhambi zake zimesamehewa ambaye dhambi zake zimefunikwa".
Mungu anawapenda wakristo nao wanampenda. Ni raha kiasi gani kwa mkristo kujua kwamba anaye Yesu, rafiki huyu mpendwa aliye naye kila siku kila saa, kumwongoza na kumhifadhi na kumtimizia mahitaji yake yote.Mtume Petro alisema kumhusu Yesu "Naye mwampenda ijapokuwa hamkumwona; ambaye ijapokuwa hamwoni sasa mnamwamini na kufurahi sana kwa furaha isiyoonekana , yeye utukufu."
"Wakristo wana ushirika na Mungu - kuzungumza na Mungu na Mungu kuzungumza nao. Ni furaha iliyoje Mkristo anapoifungua Biblia na kusema " Nena Bwana mtumishi wako anasikia." Na je ni furaha kuu iliopo wakati mwingine katika umati mkuu, ukimtukuza na kumhimidi Baba yetu wa mbinguni, au kuketi mezani mwa mwanamke kwa furaha kuu.
Wakristo wana furaha kwa kushinda dhambi, kwa kumpenda Mungu, na kwa kuwafanyia wema watu wengine.
Biblia inasema Kwa kuzitii amri za Mungu kuna tunzo kuu, Mkristo anapofanya mambo hayo kumpendeza Yesu Kristo mwokozi wake ni fuaraha ya kiasi gani wanayotoa!
Related Posts:
Who is God?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_ad_client: "ca-pub-3375027849950266",
enable_page_level_ads: true
});
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push… Read More
Why Should I Read the Bible?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_ad_client: "ca-pub-3375027849950266",
enable_page_level_ads: true
});
window.dataLayer… Read More
Who is Jesus?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_ad_client: "ca-pub-3375027849950266",
enable_page_level_ads: true
});
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push(… Read More
Help Someone Find God
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push(arguments);}
gtag('js', new Date());
gtag('config', 'UA-109612802-1');
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_… Read More
How can you be sure that you have accepted Christ?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_ad_client: "ca-pub-3375027849950266",
enable_page_level_ads: true
});
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push… Read More
0 comments:
Post a Comment