Katika kitabu cha (Yohana 16 : 33) Yesu alisema "Hayo nawambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki lakini jipeni moyo mimi nimeushinda ulimwengu. Pia katika kitabu cha (Matendo ya mitume 14: 22) Paulo anasema "wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika ile imani, nayakwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya
dhiki nyingi".
Maandiko hapo juu yanaonyesha wazi kuwa wakristo ni lazima wategemee dhiki. Tukichunguza kwa undani maandiko haya yanaonyesha :-
Kama mkristo wajibu wako kujua kwamba upitapo katika dhiki au mateso unatakiwa uwe na amani badala ya hofu.
Ni lazima tujipe moyo tupitapo katika dhiki/mateso au majaribu, na hii nikwasababu Yesu ameushinda ulimwengu.
Yeye(Yesu) alishinda maumivu, mateso na kifo na baadaye alifufuka toka katika wafu
Related Posts:
How can I give my life to God?
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push(arguments);}
gtag('js', new Date());
gtag('config', 'UA-109612802-1');
We all live for something. We start life fully committed t… Read More
Six ways to find worship creatively.
1. Attend a different service or church. Unless you
are employed by your church and obligated to be at a certain service,
this is easy to do. For one week, go to an unfamiliar church that has
different traditions than y… Read More
How can I be a good Christian?
window.dataLayer = window.dataLayer || [];
function gtag(){dataLayer.push(arguments);}
gtag('js', new Date());
gtag('config', 'UA-109612802-1');
Wouldn't it be great if the Christian life had a check list?… Read More
What is the Christian life supposed to be like?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({
google_ad_client: "ca-pub-3375027849950266",
enable_page_level_ads: true
});
window.dataLayer… Read More
The Birth of Jesus
Jesus Christ was born just over 2,000 years ago in the country of Israel in the Middle East.
His birth happened in a miraculous way, because His mother Mary was
an unmarried virgin. "This is how the birth of Jesus Christ … Read More
0 comments:
Post a Comment